Tanzania na Uturuki kushirikiana katika Sekta ya Utamaduni
Na Shamimu Nyaki – WUSM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Saidi Yakubu amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Dkt. Mehmet Gulluoglu kuhusu kushirikiana katika Sekta ya Utamaduni nchini. Kikao hicho cha kupitia Mkataba wa Ushirikiano katika Sekta za Wizara kabla ya kuusaini kiilifanyika Mei 10, 2022
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed