Tanzania na Uturuki kushirikiana katika Sekta ya Utamaduni

Na Shamimu Nyaki – WUSM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.Saidi Yakubu amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini Mhe. Dkt. Mehmet Gulluoglu  kuhusu kushirikiana katika Sekta ya Utamaduni nchini. Kikao hicho cha kupitia Mkataba wa Ushirikiano  katika Sekta za Wizara kabla ya kuusaini  kiilifanyika Mei 10, 2022